11 “‘“Wakati siku zako zitafikia mwisho na uende kuwa pamoja na mababu zako, nitainua uzao wako* kisha wewe, mumoja wa wana wako,+ na nitafanya ufalme wake ukuwe imara kabisa.+
16 “‘Mimi, Yesu, nilimutuma malaika wangu kuwatolea ushahidi juu ya mambo haya kwa ajili ya makutaniko. Mimi ndiye muzizi na uzao wa Daudi+ na nyota ya asubui yenye kungaa.’”+