Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Siku ya tatu (3) asubui, kulikuwa mungurumo na umeme wa radi, na kulikuwa wingu nzito+ kwenye mulima na sauti kubwa sana ya baragumu, na watu wote katika kambi wakaanza kutetemeka.+

  • Kutoka 19:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Mulima Sinai ulitoa moshi kila mahali, kwa sababu Yehova alishuka juu yake katika moto;+ na moshi huo ulikuwa unapanda kama moshi wa tanuru, na mulima wote ulitetemeka kwa nguvu.+

  • Zaburi 77:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Sauti ya mungurumo wako+ ilikuwa kama magurudumu* ya gari;

      Miangaza ya umeme wa radi iliangazia dunia yenye kuikaliwa na watu;*+

      Dunia ilitikisika na kutetemeka.+

  • Zaburi 104:32
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 Anaangalia dunia, na inatetemeka;

      Anagusa milima, na inatoa moshi.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine