28 Kisha Nebukadneza akasema: “Asifiwe Mungu wa Shadraki, Meshaki, na Abednego,+ mwenye alituma malaika wake na kuokoa watumishi wake. Walimutegemea na wakatenda kinyume na amri ya mufalme na walikuwa tayari kufa kuliko kumutumikia na kumuabudu mungu yeyote isipokuwa tu Mungu wao.+