-
Yoshua 23:6, 7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 “Sasa munapaswa kuwa hodari sana ili kufuata na kushika mambo yote yenye kuandikwa katika kitabu cha Sheria+ ya Musa, musiiache hata kidogo kwa kuenda kuume wala kushoto,+ 7 musichangamane hata kidogo na mataifa haya+ yenye yanabakia pamoja na ninyi. Hamupaswe hata kutaja majina ya miungu yao+ wala kuapa kwa miungu hiyo, na hamupaswe hata kidogo kuitumikia wala kuiinamia.+
-