12 Mutashangilia mbele ya Yehova Mungu wenu,+ ninyi na watoto wenu wanaume, watoto wenu wanamuke, watumwa wenu wanaume na wanamuke, na Mulawi mwenye kuwa ndani ya miji yenu,* kwa sababu hakupewa fungu wala uriti pamoja na ninyi.+
10 Akawaambia: “Muende, mukule vitu vya muzuri* na kunywa vitu vitamu, na mutume mafungu ya chakula+ kwa wale wenye hawana kitu; kwa kuwa siku hii ni takatifu kwa Bwana wetu, musihuzunike, kwa maana shangwe ya Yehova ni ngome yenu.”*