Zaburi 96:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Mumuimbie Yehova; musifu jina lake. Mutangaze habari njema za wokovu wake siku kwa siku.+ Waebrania 13:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Kupitia yeye sikuzote tumutolee Mungu zabihu ya sifa,+ ni kusema, tunda la midomo yetu+ yenye inatangaza jina lake mbele ya watu wote.+
15 Kupitia yeye sikuzote tumutolee Mungu zabihu ya sifa,+ ni kusema, tunda la midomo yetu+ yenye inatangaza jina lake mbele ya watu wote.+