2 Samweli 12:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Basi Daudi akamuambia Natani: “Nimemutendea Yehova zambi.”+ Natani akamujibu Daudi: “Yehova naye amesamehe zambi yako.*+ Hautakufa.+ Isaya 43:25 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 25 Mimi, mimi Ndiye ninafuta makosa yako*+ kwa ajili yangu mwenyewe,+Na sitakumbuka zambi zako.+
13 Basi Daudi akamuambia Natani: “Nimemutendea Yehova zambi.”+ Natani akamujibu Daudi: “Yehova naye amesamehe zambi yako.*+ Hautakufa.+