Zaburi 12:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 “Kwa sababu wale wenye kuteswa wanakandamizwa,Kwa sababu ya kilio cha maumivu cha maskini,+Nitasimama ili kutenda,” ni vile Yehova anasema. “Nitawaokoa kutoka kwa wale wenye kuwatendea kwa zarau.”* Mezali 22:22, 23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Usinyanganye vitu vya mutu maskini kwa sababu yeye ni maskini,+Wala usiponde mutu wa hali ya chini katika mulango mukubwa wa muji,+23 Kwa maana Yehova mwenyewe atatetea mashitaka yao+Na ataondoa uzima wa* wale wenye kuwapunja. Yakobo 5:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Muangalie! Malipo yenye mulikataa kulipa wafanyakazi wenye walivuna mashamba yenu yanaendelea kulia kwa sauti kubwa, na vilio vya kuomba musaada vya wavunaji vimefika kwenye masikio ya Yehova* wa majeshi.+
5 “Kwa sababu wale wenye kuteswa wanakandamizwa,Kwa sababu ya kilio cha maumivu cha maskini,+Nitasimama ili kutenda,” ni vile Yehova anasema. “Nitawaokoa kutoka kwa wale wenye kuwatendea kwa zarau.”*
22 Usinyanganye vitu vya mutu maskini kwa sababu yeye ni maskini,+Wala usiponde mutu wa hali ya chini katika mulango mukubwa wa muji,+23 Kwa maana Yehova mwenyewe atatetea mashitaka yao+Na ataondoa uzima wa* wale wenye kuwapunja.
4 Muangalie! Malipo yenye mulikataa kulipa wafanyakazi wenye walivuna mashamba yenu yanaendelea kulia kwa sauti kubwa, na vilio vya kuomba musaada vya wavunaji vimefika kwenye masikio ya Yehova* wa majeshi.+