Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 12:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  5 “Kwa sababu wale wenye kuteswa wanakandamizwa,

      Kwa sababu ya kilio cha maumivu cha maskini,+

      Nitasimama ili kutenda,” ni vile Yehova anasema.

      “Nitawaokoa kutoka kwa wale wenye kuwatendea kwa zarau.”*

  • Mezali 22:22, 23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Usinyanganye vitu vya mutu maskini kwa sababu yeye ni maskini,+

      Wala usiponde mutu wa hali ya chini katika mulango mukubwa wa muji,+

      23 Kwa maana Yehova mwenyewe atatetea mashitaka yao+

      Na ataondoa uzima wa* wale wenye kuwapunja.

  • Yakobo 5:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Muangalie! Malipo yenye mulikataa kulipa wafanyakazi wenye walivuna mashamba yenu yanaendelea kulia kwa sauti kubwa, na vilio vya kuomba musaada vya wavunaji vimefika kwenye masikio ya Yehova* wa majeshi.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine