Zaburi 30:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Kwa sababu kuwa chini ya kasirani yake ni kwa wakati mufupi tu,+Lakini kuwa katika wema wake* kunadumu maisha yote.+ Kilio kinaweza kutokea mangaribi, lakini asubui, vigelegele vya shangwe.+
5 Kwa sababu kuwa chini ya kasirani yake ni kwa wakati mufupi tu,+Lakini kuwa katika wema wake* kunadumu maisha yote.+ Kilio kinaweza kutokea mangaribi, lakini asubui, vigelegele vya shangwe.+