Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16:21, 22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Haruni ataweka mikono yake mbili juu ya kichwa cha ule mbuzi mwenye kuwa muzima na kuungama juu yake makosa yote ya Waisraeli na maovu yao yote na zambi zao zote, na ataziweka juu ya kichwa cha ule mbuzi+ na kumutuma katika jangwa kupitia mukono wa mutu mwenye alichaguliwa ili kufanya vile.* 22 Ule mbuzi atabeba juu yake mwenyewe makosa yao yote+ mupaka katika eneo la jangwa,+ na mutu huyo atamuachilia ule mbuzi aende katika jangwa.+

  • Isaya 43:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Mimi, mimi Ndiye ninafuta makosa yako*+ kwa ajili yangu mwenyewe,+

      Na sitakumbuka zambi zako.+

  • Yeremia 31:34
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 34 “Na hawatafundishana tena kila mutu na jirani yake na kila mutu na ndugu yake, kwa kusema, ‘Mumujue Yehova!’+ kwa maana wote watanijua, kuanzia mudogo zaidi mupaka mukubwa zaidi kati yao,”+ ni vile Yehova anasema. “Kwa maana nitasamehe kosa lao, na sitakumbuka tena zambi yao.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine