Zaburi 90:5, 6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Unawafagilia mbali;+ wanakuwa kama usingizi tu;Asubui, wao ni kama majani yenye kuchipuka.+ 6 Asubui yanatoa maua na kuwa mupya,Lakini mangaribi yanafifia na kukauka.+ 1 Petro 1:24 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 24 Kwa maana “miili yote* ni kama majani, na utukufu wake wote ni kama ua la shamba; majani yanakauka, na ua linaanguka,
5 Unawafagilia mbali;+ wanakuwa kama usingizi tu;Asubui, wao ni kama majani yenye kuchipuka.+ 6 Asubui yanatoa maua na kuwa mupya,Lakini mangaribi yanafifia na kukauka.+
24 Kwa maana “miili yote* ni kama majani, na utukufu wake wote ni kama ua la shamba; majani yanakauka, na ua linaanguka,