Zaburi 21:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Unamufanya akuwe mwenye kubarikiwa milele;+Unamufanya afurahi kwa shangwe ya kuwa mbele yako.*+ Matayo 5:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 “Wenye furaha ni wale wenye moyo safi,+ kwa sababu watamuona Mungu.