Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 19:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  8 Maagizo kutoka kwa Yehova ni yenye haki, yanafanya moyo ushangilie;+

      Amri ya Yehova ni safi, inafanya macho yangae.+

  • Isaya 55:10, 11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Kwa maana kama vile mvua na teluji* inamwangika kutoka mbinguni

      Na hairudie kule mupaka ilowanishe dunia na kuifanya izae na kuchipuka,

      Na kupatia mbegu mupandaji na kupatia mukate mwenye kula,

      11 Ni vile neno langu lenye kutoka katika kinywa changu litakuwa.*+

      Halitarudia kwangu bila matokeo,+

      Lakini hakika litatimiza jambo lolote lenye kunipendeza,*+

      Na hakika litafanikiwa katika mambo yenye nimelituma kufanya.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine