10 Kwa maana kama vile mvua na teluji inamwangika kutoka mbinguni
Na hairudie kule mupaka ilowanishe dunia na kuifanya izae na kuchipuka,
Na kupatia mbegu mupandaji na kupatia mukate mwenye kula,
11 Ni vile neno langu lenye kutoka katika kinywa changu litakuwa.+
Halitarudia kwangu bila matokeo,+
Lakini hakika litatimiza jambo lolote lenye kunipendeza,+
Na hakika litafanikiwa katika mambo yenye nimelituma kufanya.