Yobu 28:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Na alimuambia mwanadamu: ‘Angalia! Kumuogopa Yehova—ndiyo hekima,+Na kuacha ubaya ni uelewaji.’”+ Mezali 1:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Kumuogopa* Yehova ndio mwanzo wa ujuzi.+ Ni wapumbavu tu ndio wanazarau hekima na nizamu.+ Muhubiri 12:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Huu ndio mwisho wa jambo, mambo yote yamekwisha kusikiwa: Ogopa Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana hilo ndilo jambo lote lenye mwanadamu anapaswa kufanya.+
28 Na alimuambia mwanadamu: ‘Angalia! Kumuogopa Yehova—ndiyo hekima,+Na kuacha ubaya ni uelewaji.’”+
13 Huu ndio mwisho wa jambo, mambo yote yamekwisha kusikiwa: Ogopa Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana hilo ndilo jambo lote lenye mwanadamu anapaswa kufanya.+