Isaya 51:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 “Mimi mwenyewe ndiye Mwenye kuwafariji.+ Sababu gani uogope mwanadamu mwenye anaweza kufa mwenye atakufa,+Na mwana wa binadamu mwenye atakauka kama majani ya mubichi? Waroma 8:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Basi, tuseme nini juu ya mambo haya? Kama Mungu iko* upande wetu, ni nani atatushinda?+ Waebrania 13:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Ili tukuwe hodari na kusema: “Yehova* ni musaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunifanya nini?”+
12 “Mimi mwenyewe ndiye Mwenye kuwafariji.+ Sababu gani uogope mwanadamu mwenye anaweza kufa mwenye atakufa,+Na mwana wa binadamu mwenye atakauka kama majani ya mubichi?
6 Ili tukuwe hodari na kusema: “Yehova* ni musaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunifanya nini?”+