Isaya 48:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Yehova, Mukombozi wako, Mutakatifu wa Israeli,+ anasema hivi: “Mimi, Yehova, niko Mungu wako,Mwenye anakufundisha ili ujipatie faida,*+Mwenye anakuongoza katika njia yenye unapaswa kutembea ndani yake.+ Yohana 6:45 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 45 Imeandikwa katika Manabii: ‘Wote watafundishwa na Yehova.’*+ Kila mutu mwenye amesikiliza Baba na amejifunza, anakuja kwangu. Yakobo 1:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Kwa hiyo, kama mutu yeyote kati yenu anakosa hekima, aendelee kumuomba Mungu,+ kwa maana yeye anapatia wote kwa ukarimu na bila kulaumu,*+ na atapewa hiyo.+
17 Yehova, Mukombozi wako, Mutakatifu wa Israeli,+ anasema hivi: “Mimi, Yehova, niko Mungu wako,Mwenye anakufundisha ili ujipatie faida,*+Mwenye anakuongoza katika njia yenye unapaswa kutembea ndani yake.+
45 Imeandikwa katika Manabii: ‘Wote watafundishwa na Yehova.’*+ Kila mutu mwenye amesikiliza Baba na amejifunza, anakuja kwangu.
5 Kwa hiyo, kama mutu yeyote kati yenu anakosa hekima, aendelee kumuomba Mungu,+ kwa maana yeye anapatia wote kwa ukarimu na bila kulaumu,*+ na atapewa hiyo.+