Isaya 48:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Yehova, Mukombozi wako, Mutakatifu wa Israeli,+ anasema hivi: “Mimi, Yehova, niko Mungu wako,Mwenye anakufundisha ili ujipatie faida,*+Mwenye anakuongoza katika njia yenye unapaswa kutembea ndani yake.+
17 Yehova, Mukombozi wako, Mutakatifu wa Israeli,+ anasema hivi: “Mimi, Yehova, niko Mungu wako,Mwenye anakufundisha ili ujipatie faida,*+Mwenye anakuongoza katika njia yenye unapaswa kutembea ndani yake.+