23 Yehova ndiye atalipa kila mutu kulingana na haki yake mwenyewe+ na uaminifu wake mwenyewe, kwa maana leo Yehova alikutia katika mukono wangu, lakini sikutaka kuinua mukono wangu juu ya mutiwa-mafuta wa Yehova.+
32 basi usikie kule mbinguni na utende na uhukumu watumishi wako kwa kumutangaza ule muovu kuwa na kosa* na kuleta mambo yenye alifanya juu ya kichwa chake mwenyewe, na kwa kumutangaza mwenye haki kuwa hana kosa* na kwa kumupatia zawabu kulingana na haki yake.+