Zaburi 91:11, 12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Kwa maana ataamuru malaika wake+ kwa ajili yako,Ili wakulinde katika njia zako zote.+ 12 Watakubeba katika mikono yao,+Ili usigonge muguu wako kwenye jiwe.+ Mezali 3:26 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 26 Kwa maana Yehova atakuwa chanzo cha tumaini lako;+Atalinda muguu wako usinaswe.+
11 Kwa maana ataamuru malaika wake+ kwa ajili yako,Ili wakulinde katika njia zako zote.+ 12 Watakubeba katika mikono yao,+Ili usigonge muguu wako kwenye jiwe.+