12 Watakuja na kupiga vigelegele vya shangwe kwenye nafasi ya juu ya Sayuni+
Na kungaa kwa sababu ya wema wa Yehova,
Kwa sababu ya nafaka na divai mupya+ na mafuta,
Na kwa sababu ya watoto wa kundi na wa mifugo.+
Watakuwa kama bustani yenye kunyweshwa maji muzuri,+
Na hawataregea tena hata siku moja.”+