-
Ezra 7:27, 28Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
27 Asifiwe Yehova Mungu wa mababu zetu, mwenye alitia katika moyo wa mufalme wazo la kupamba nyumba ya Yehova yenye iko Yerusalemu!+ 28 Na amenionyesha upendo mushikamanifu mbele ya mufalme,+ washauri wake,+ na wakubwa wote wenye nguvu wa mufalme. Kwa hiyo nikapata uhodari* kwa sababu mukono wa Yehova Mungu wangu ulikuwa juu yangu, na nikakusanya wanaume wenye kuongoza wa* Israeli ili waende pamoja na mimi.
-