Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 4:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Sikia, Ee Mungu wetu, kwa maana tumezarauliwa;+ na urudishe haya yao juu ya vichwa vyao wenyewe,+ na uwatoe kuwa kitu cha kunyanganywa katika inchi ya utekwa.

  • Nehemia 6:15, 16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Kwa hiyo ukuta ukamalizika kujengwa siku ya makumi mbili na tano (25) ya mwezi wa Eluli,* kwa siku makumi tano na mbili (52).

      16 Wakati tu maadui wetu walisikia habari hii na wakati mataifa yote yenye kutuzunguka yaliona jambo hilo, wakasikia haya sana,*+ na wakatambua kwamba kazi hii ilimalizika kwa musaada wa Mungu wetu.

  • Esta 6:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Wakati Hamani alimuelezea Zereshi+ bibi yake na marafiki wake wote kila jambo lenye lilimupata, wanaume wake wenye hekima na Zereshi bibi yake wakamuambia: “Kama Mordekai, mwenye umeanza kuanguka mbele yake ni muzao wa Wayahudi,* wewe hautamuweza, hakika utaanguka mbele yake.”

  • Esta 9:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Wayahudi walipiga na kuua maadui wao wote kwa upanga, waliwaua na kuwaharibu; walitendea wale wenye kuwachukia kama vile walitaka.+

  • Zaburi 137:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  7 Kumbuka, Ee Yehova,

      Mambo yenye Waedomu walisema siku yenye Yerusalemu ilianguka:

      “Muibomoe! Muibomoe mupaka kwenye misingi yake!”+

  • Zekaria 12:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Katika siku hiyo nitafanya Yerusalemu kuwa jiwe nzito* kwa vikundi vyote vya watu. Wale wote wenye wanalinyangula bila shaka wataumia sana;+ na mataifa yote ya dunia yatakusanyika ili kupigana naye.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine