Zaburi 12:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Maneno ya Yehova yako safi;+Yako kama feza yenye ilisafishwa katika tanuru ya udongo,* yenye ilisafishwa mara saba (7). Zaburi 19:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Maagizo kutoka kwa Yehova ni yenye haki, yanafanya moyo ushangilie;+Amri ya Yehova ni safi, inafanya macho yangae.+
6 Maneno ya Yehova yako safi;+Yako kama feza yenye ilisafishwa katika tanuru ya udongo,* yenye ilisafishwa mara saba (7).
8 Maagizo kutoka kwa Yehova ni yenye haki, yanafanya moyo ushangilie;+Amri ya Yehova ni safi, inafanya macho yangae.+