6 Daudi alihangaika sana, kwa sababu watu wake walikuwa wanasema apigwe majiwe, kwa maana watu wote walikuwa na uchungu mwingi sana kwa kupoteza watoto wao wanaume na watoto wao wanamuke. Lakini Daudi akajitia nguvu kwa musaada wa Yehova Mungu wake.+