Mezali 13:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Mwenye analinda kinywa chake* analinda uzima wake,*+Lakini mwenye anafungua wazi midomo yake ataharibiwa.+ Mezali 21:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Mwenye analinda kinywa chake na ulimi wakeAnajiepusha* na taabu.+ Yakobo 1:26 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 26 Kama mutu yeyote anawaza yeye ni muabudu wa Mungu* lakini hazuie kabisa* ulimi wake,+ anadanganya moyo wake mwenyewe, na ibada yake ni ya bure.*
3 Mwenye analinda kinywa chake* analinda uzima wake,*+Lakini mwenye anafungua wazi midomo yake ataharibiwa.+
26 Kama mutu yeyote anawaza yeye ni muabudu wa Mungu* lakini hazuie kabisa* ulimi wake,+ anadanganya moyo wake mwenyewe, na ibada yake ni ya bure.*