2 Mambo ya Nyakati 20:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Ee Mungu wetu, je, hautafanya hukumu juu yao?+ Kwa maana hatuna nguvu mbele ya watu hawa wengi sana wenye wanakuja kutushambulia; na hatujue jambo lenye tunapaswa kufanya,+ lakini macho yetu yanakuelekea wewe.”+ Zaburi 25:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Macho yangu yanamuelekea Yehova sikuzote,+Kwa maana atatosha miguu yangu katika wavu.*+
12 Ee Mungu wetu, je, hautafanya hukumu juu yao?+ Kwa maana hatuna nguvu mbele ya watu hawa wengi sana wenye wanakuja kutushambulia; na hatujue jambo lenye tunapaswa kufanya,+ lakini macho yetu yanakuelekea wewe.”+