-
Luka 10:8, 9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 “Pia, kila mahali munaingia katika muji na wanawapokea, mukule kile wanaweka mbele yenu 9 na muponyeshe wagonjwa wenye kuwa mule na muwaambie: ‘Ufalme wa Mungu umewakaribia ninyi.’+
-