8 Kitabu hiki cha Sheria kisitoke katika kinywa chako,+ na unapaswa kukisoma kwa sauti ya chini muchana na usiku, ili ufuate kwa uangalifu mambo yote yenye kuandikwa ndani;+ ukifanya vile, njia yako itakuwa na matokeo ya muzuri na utatenda kwa hekima.+