Mwanzo 1:30 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 30 Na nimetoa majani yote ya mubichi kuwa chakula+ kwa kila munyama wa pori na kwa kila kiumbe chenye kuruka cha mbinguni na kwa kila kiumbe chenye kutembea juu ya dunia chenye kuwa na uzima* ndani yake.” Na ikakuwa vile. Zaburi 136:25 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 25 Anapatia chakula kila kiumbe chenye uzima,*+Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.
30 Na nimetoa majani yote ya mubichi kuwa chakula+ kwa kila munyama wa pori na kwa kila kiumbe chenye kuruka cha mbinguni na kwa kila kiumbe chenye kutembea juu ya dunia chenye kuwa na uzima* ndani yake.” Na ikakuwa vile.