Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Kwa mutu mushikamanifu unatenda kwa ushikamanifu;+

      Kwa mutu mwenye hana lawama unatenda bila lawama;+

  • Ufunuo 15:3, 4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mutumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema:

      “Matendo yako ni makubwa na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za haki na za kweli,+ Mufalme wa umilele.+ 4 Ni nani mwenye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kutukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mushikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele yako,+ kwa sababu amri zako za haki zimefunuliwa.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine