-
Zaburi 18:25Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
25 Kwa mutu mushikamanifu unatenda kwa ushikamanifu;+
Kwa mutu mwenye hana lawama unatenda bila lawama;+
-
Ufunuo 15:3, 4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mutumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema:
“Matendo yako ni makubwa na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za haki na za kweli,+ Mufalme wa umilele.+ 4 Ni nani mwenye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kutukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mushikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele yako,+ kwa sababu amri zako za haki zimefunuliwa.”
-
-
-