Zaburi 34:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Yehova iko* karibu na wale wenye kuvunjika moyo;+Anaokoa wale wenye kupondwa roho.*+ Yakobo 4:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Mumukaribie Mungu, naye atawakaribia ninyi.+ Musafishe mikono yenu, ninyi watenda-zambi,+ na mutakase mioyo yenu,+ ninyi wenye kusita-sita.
8 Mumukaribie Mungu, naye atawakaribia ninyi.+ Musafishe mikono yenu, ninyi watenda-zambi,+ na mutakase mioyo yenu,+ ninyi wenye kusita-sita.