Ufunuo 19:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Na nikasikia kitu kama sauti ya kikundi kikubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya mingurumo mizito ya radi. Wakasema: “Mumusifu Yah,*+ kwa sababu Yehova* Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mufalme!+
6 Na nikasikia kitu kama sauti ya kikundi kikubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya mingurumo mizito ya radi. Wakasema: “Mumusifu Yah,*+ kwa sababu Yehova* Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mufalme!+