-
Zaburi 107:14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
14 Aliwatosha katika giza nzito sana,
Na kukata pingu zao.+
-
-
Zaburi 142:7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Unitoshe* katika gereza la chini ya udongo
Ili nisifu jina lako.
Wenye haki wakusanyike kunizunguka
Kwa sababu unanitendea kwa fazili.
-