Kumbukumbu la Torati 10:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Anatenda haki kwa ajili ya mutoto mwenye hana baba* na mujane+ na anamupenda mukaaji mugeni,+ anamupatia chakula na nguo. Zaburi 68:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Baba ya watoto wenye hawana baba na mulinzi* wa wajane+Ni Mungu katika makao yake matakatifu.+
18 Anatenda haki kwa ajili ya mutoto mwenye hana baba* na mujane+ na anamupenda mukaaji mugeni,+ anamupatia chakula na nguo.