Zaburi 132:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Makuhani wake nitawavalisha wokovu,+Na washikamanifu wake watapiga vigelegele vya shangwe.+ Isaya 61:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Nitashangilia sana katika Yehova. Nafsi yangu yote itashangilia katika Mungu wangu.+ Kwa maana amenivalisha nguo za wokovu;+Amenifunika kanzu* ya haki,Kama vile bwana-arusi mwenye kuvaa kilemba kama cha kuhani,+Na kama bibi-arusi mwenye kujipamba mapambo yake.
10 Nitashangilia sana katika Yehova. Nafsi yangu yote itashangilia katika Mungu wangu.+ Kwa maana amenivalisha nguo za wokovu;+Amenifunika kanzu* ya haki,Kama vile bwana-arusi mwenye kuvaa kilemba kama cha kuhani,+Na kama bibi-arusi mwenye kujipamba mapambo yake.