1 Mambo ya Nyakati 15:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Waisraeli wote walikuwa wanapandisha sanduku la agano la Yehova kwa makelele ya furaha,+ kwa sauti ya baragumu, kwa tarumbeta,+ kwa matoazi, wakipiga vyombo vya kamba na vinubi kwa sauti kubwa.+
28 Waisraeli wote walikuwa wanapandisha sanduku la agano la Yehova kwa makelele ya furaha,+ kwa sauti ya baragumu, kwa tarumbeta,+ kwa matoazi, wakipiga vyombo vya kamba na vinubi kwa sauti kubwa.+