5 Daudi na nyumba yote ya Israeli walikuwa wanashangilia mbele ya Yehova kwa vyombo vya kila namna vya mbao za muberoshi, vinubi, vyombo vingine vya kamba,+ ngoma za kidogo,*+ matasa, na matoazi.+
5 Asafu+ alikuwa kichwa, na wa pili kisha yeye alikuwa Zekaria; na Yeieli, Shemiramoti, Yehieli, Matitia, Eliabu, Benaya, Obed-edomu, na Yeieli+ walipiga vyombo vya kamba na vinubi;+ na Asafu alipiga matoazi,+