-
Waebrania 11:32-34Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
32 Na nitasema nini zaidi? Kwa maana nitakosa wakati kama ninaendelea kueleza juu ya Gideoni,+ Baraka,+ Samsoni,+ Yefta,+ Daudi,+ na vilevile Samweli+ na wale manabii wengine. 33 Kupitia imani walishinda falme,+ wakaleta haki, wakapata ahadi,+ wakafunga vinywa vya simba,+ 34 wakazima nguvu za moto,+ wakaponyoka makali ya upanga,+ wakafanywa kuwa wenye nguvu kutoka kwenye hali ya uzaifu,+ wakakuwa wenye nguvu katika vita,+ wakashinda majeshi yenye kushambulia.+
-