1 Mambo ya Nyakati 29:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Ee Yehova, ukubwa ni wako+ na nguvu+ na uzuri na sifa na utukufu,*+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme ni wako, Ee Yehova.+ Wewe Ndiwe mwenye kujiinua mwenyewe ukiwa kichwa juu ya vyote. Yobu 41:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Ni nani mwenye amekuwa wa kwanza kunipatia kitu fulani ili nimulipe?+ Kila kitu chenye kuwa chini ya mbingu ni changu.+ 1 Wakorinto 10:26 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 26 kwa maana “dunia na vitu vyote vyenye kuwa ndani ni vya Yehova.”*+
11 Ee Yehova, ukubwa ni wako+ na nguvu+ na uzuri na sifa na utukufu,*+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme ni wako, Ee Yehova.+ Wewe Ndiwe mwenye kujiinua mwenyewe ukiwa kichwa juu ya vyote.
11 Ni nani mwenye amekuwa wa kwanza kunipatia kitu fulani ili nimulipe?+ Kila kitu chenye kuwa chini ya mbingu ni changu.+