1 Samweli 3:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Taa ya Mungu+ haikukuwa imezimwa, na Samweli alikuwa amelala katika hekalu*+ la Yehova, mahali kwenye Sanduku la Mungu lilikuwa. 1 Mambo ya Nyakati 16:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Basi wakaingiza Sanduku la Mungu wa kweli na kuliweka ndani ya hema yenye Daudi alikuwa ameisimamishia;+ na wakatoa matoleo ya kuteketezwa na zabihu za ushirika mbele ya Mungu wa kweli.+ Zaburi 27:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Nimemuomba Yehova jambo moja—Ni hilo nitatafuta—Kwamba nikae katika nyumba ya Yehova sikuzote za maisha yangu,+Ili kuangalia uzuri wa YehovaNa kuangalia kwa usamini* hekalu lake.*+
3 Taa ya Mungu+ haikukuwa imezimwa, na Samweli alikuwa amelala katika hekalu*+ la Yehova, mahali kwenye Sanduku la Mungu lilikuwa.
16 Basi wakaingiza Sanduku la Mungu wa kweli na kuliweka ndani ya hema yenye Daudi alikuwa ameisimamishia;+ na wakatoa matoleo ya kuteketezwa na zabihu za ushirika mbele ya Mungu wa kweli.+
4 Nimemuomba Yehova jambo moja—Ni hilo nitatafuta—Kwamba nikae katika nyumba ya Yehova sikuzote za maisha yangu,+Ili kuangalia uzuri wa YehovaNa kuangalia kwa usamini* hekalu lake.*+