1 Samweli 25:29 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 29 Wakati mutu atasimama ili kukufuatilia na kutafuta uzima wako,* uzima wa* bwana wangu utakuwa umefungwa salama katika mufuko wa uzima karibu na Yehova Mungu wako, lakini atatupa mbali uzima wa* maadui wako kama vile majiwe kutoka katika kombeo.
29 Wakati mutu atasimama ili kukufuatilia na kutafuta uzima wako,* uzima wa* bwana wangu utakuwa umefungwa salama katika mufuko wa uzima karibu na Yehova Mungu wako, lakini atatupa mbali uzima wa* maadui wako kama vile majiwe kutoka katika kombeo.