Zaburi 63:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 63 Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, ninaendelea kukutafuta.+ Niko na kiu* kwa ajili yako.+ Ninazimia* kwa sababu ninakutamaniKatika inchi kame na yenye kukauka, kwenye hakuna maji.+ Zaburi 105:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Mumutafute Yehova+ na nguvu zake. Mutafute uso* wake bila kuacha. Sefania 2:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Mumutafute Yehova,+ ninyi wote wapole* wa dunia,Wenye kushika amri zake za haki.* Mutafute haki, mutafute upole.* Pengine* mutafichwa katika siku ya kasirani ya Yehova.+
63 Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, ninaendelea kukutafuta.+ Niko na kiu* kwa ajili yako.+ Ninazimia* kwa sababu ninakutamaniKatika inchi kame na yenye kukauka, kwenye hakuna maji.+
3 Mumutafute Yehova,+ ninyi wote wapole* wa dunia,Wenye kushika amri zake za haki.* Mutafute haki, mutafute upole.* Pengine* mutafichwa katika siku ya kasirani ya Yehova.+