-
Zaburi 31:8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Haukunitia katika mukono wa adui,
Lakini unanifanya nisimame mahali salama.*
-
-
Zaburi 41:2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 Yehova atamuchunga na kulinda uzima wake.
-
-
Zaburi 41:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Kwa njia hii nitajua kwamba unapendezwa na mimi:
Wakati adui yangu hataweza kupiga vigelegele vya ushindi juu yangu.+
-