-
Matayo 26:59-61Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
59 Sasa wakubwa wa makuhani na Sanhedrini yote walikuwa wanatafuta ushuhuda wa uongo juu ya Yesu ili wamuue.+ 60 Lakini hawakupata ushuhuda wowote, hata kama mashahidi wengi wa uongo walijitokeza.+ Kisha wakati fulani, mashahidi wawili wakajitokeza 61 na kusema: “Mutu huyu alisema, ‘Ninaweza kubomoa hekalu la Mungu na kulijenga kwa siku tatu (3).’”+
-