28 Mumupatie Yehova kile chenye anastahili, ninyi familia za vikundi vya watu,
Mumupatie Yehova kile chenye anastahili kwa sababu ya utukufu wake na nguvu zake.+
29 Mumupatie Yehova utukufu wenye jina lake linastahili;+
Mulete zawadi na muingie mbele yake.+
Mumuinamie Yehova katika mapambo matakatifu.+