Isaya 2:12, 13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Kwa maana hiyo ni siku ya Yehova wa majeshi.+ Inakuja juu ya kila mutu mwenye majivuno na mwenye kujipandisha,Juu ya kila mutu, kama ni mwenye kuinuliwa ao mwenye kuwa chini,+13 Juu ya mierezi yote ya Lebanoni yenye kuwa ya murefu na yenye kuinuliwaNa juu ya mialoni yote ya Bashani,
12 Kwa maana hiyo ni siku ya Yehova wa majeshi.+ Inakuja juu ya kila mutu mwenye majivuno na mwenye kujipandisha,Juu ya kila mutu, kama ni mwenye kuinuliwa ao mwenye kuwa chini,+13 Juu ya mierezi yote ya Lebanoni yenye kuwa ya murefu na yenye kuinuliwaNa juu ya mialoni yote ya Bashani,