15 Kisha Mungu akamuambia Musa tena:
“Utaambia Waisraeli hivi: ‘Yehova Mungu wa mababu zenu, Mungu wa Abrahamu,+ Mungu wa Isaka,+ na Mungu wa Yakobo,+ amenituma kwenu.’ Hilo ndilo jina langu milele,+ na ni vile ninapaswa kukumbukwa kutoka kizazi mupaka kizazi.