Zaburi 6:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Kwa maana hakuna kukutaja* katika kifo;Katika Kaburi,* ni nani atakusifu?+ Zaburi 115:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Wafu hawamusifu Yah;+Wala mutu yeyote mwenye anashuka katika ukimya wa kifo.*+ Muhubiri 9:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Kila jambo lenye mukono wako unapata kufanya, ulifanye kwa nguvu zako zote, kwa sababu hakuna kazi wala mipango wala ujuzi wala hekima katika Kaburi,*+ mahali unaenda.
10 Kila jambo lenye mukono wako unapata kufanya, ulifanye kwa nguvu zako zote, kwa sababu hakuna kazi wala mipango wala ujuzi wala hekima katika Kaburi,*+ mahali unaenda.