Isaya 64:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Tangu zamani hakuna mwenye alisikia wala kutega sikio,Wala hakuna jicho lenye lilimuona Mungu isipokuwa wewe,Mwenye kutenda kwa ajili ya wale wenye wanaendelea kumungojea.*+ 1 Wakorinto 2:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Lakini kama vile imeandikwa: “Jicho halikuona na sikio halikusikia, wala mambo yenye Mungu ametayarishia wale wenye wanamupenda hayakuwaziwa katika moyo wa mwanadamu.”+
4 Tangu zamani hakuna mwenye alisikia wala kutega sikio,Wala hakuna jicho lenye lilimuona Mungu isipokuwa wewe,Mwenye kutenda kwa ajili ya wale wenye wanaendelea kumungojea.*+
9 Lakini kama vile imeandikwa: “Jicho halikuona na sikio halikusikia, wala mambo yenye Mungu ametayarishia wale wenye wanamupenda hayakuwaziwa katika moyo wa mwanadamu.”+