Malaki 3:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Na mutaona tena tofauti kati ya mutu mwenye haki na mutu muovu,+ kati ya mutu mwenye kumutumikia Mungu na mwenye hamutumikie.” Matayo 13:49, 50 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 49 Ni vile itakuwa katika umalizio wa mupangilio wa mambo.* Malaika watakuja na kutenganisha waovu kutoka kati ya wenye haki 50 na watatupa waovu ndani ya tanuru ya moto. Ni mule watalia na kusaga meno yao.
18 Na mutaona tena tofauti kati ya mutu mwenye haki na mutu muovu,+ kati ya mutu mwenye kumutumikia Mungu na mwenye hamutumikie.”
49 Ni vile itakuwa katika umalizio wa mupangilio wa mambo.* Malaika watakuja na kutenganisha waovu kutoka kati ya wenye haki 50 na watatupa waovu ndani ya tanuru ya moto. Ni mule watalia na kusaga meno yao.